jamii yetu imekua na mattatizo mengi nijukumu letu ku weza kujisaidia sisi wenyewe wa najamii.tunaona vijana watoto akina mama wa nasumbuka huku na kule hawana msaada wowote. hivyo nivvyema tuka jionea ewnyewe n naku weza kujisaidia.karibu sana mwana jamii tushiriki katika blogu hii,yenye habari, hadithi kemkem za kufarahisha na kusikitisha zinazo weza kukububujisha machozi.habari za manufaa katika jamii kibiashara kisayansi kitamaduni hata kimichezo.
Sunday, September 12, 2010
masikitiko
wiki hii sikukuu ya iddi elfitr tumekuwa na habari za majonzi ndani jiji la dar es salaam haswa wilaya yatemeke,hali hii inasikitisha haswa kwa wafiwa ,watoto wawili ktk siku ya idd elftr wamefarikh wengine ni majeruhi wamelazwa hospitali,hali hii haipendezi kwani inatukumbusha tukio lilotokea mkoani tabora takriban miaka miwili ili yopita zaidi ya watoto kumi walifariki kwenye kumbi za disco zijulikanazo muungano mesi manispaa ya tabora.nahili nitukio jingine lalufa watoto wetu kwenye kumbi ya disco wilaya yatemeke halii itakoma lini ?umakini unahitajika haswa wandaaji wakumbi hizo na wamiliki muda uangaliwe haswa kwa watoto chini ya miaka kumina minne.waweze kutolewa mapema ikiwezekana saa kumi nambili nanusu wawe wanatoka ukumbini hii ingali itasaidia inshalaah mungu yupo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
,body